// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAYELE APIGA MBILI YANGA YAICHAPA COASTAL UNION 3-0 DAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAYELE APIGA MBILI YANGA YAICHAPA COASTAL UNION 3-0 DAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAYELE APIGA MBILI YANGA YAICHAPA COASTAL UNION 3-0 DAR
MSHAMBULIAJI Mkongo, Fiston Kalala Mayele amefunga mabao mawili kuiwezesha Yanga SC kuibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mayele alifunga mabao yake dakika ya 29 na 47 hivyo kufikisha mabao 13 jumla kwenye ligi msimu huu na kuendelea kuongoza kwa mabao matatu ya Mzambia wa Simba, Moses Phiri. Aliyekamilisha ushindi wa Yanga leo ni kiungo Mzanzibari, Fiesal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ dakika ya 66 na sasa mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi 44 katika mchezo wa 17 na kuendelea kuongoza ligi kwa pointi saba zaidi ya watani, Simba SC wenye mechi moja mkononi. Hali si nzuri kwa Coastal Union, kwani baada ya kichapo cha leo wanabaki na pointi zao 15 za mechi 17 nafasi ya 13.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment