// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED YAIBAMIZA NOTTINGHAM FOREST 3-0 OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED YAIBAMIZA NOTTINGHAM FOREST 3-0 OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED YAIBAMIZA NOTTINGHAM FOREST 3-0 OLD TRAFFORD
WENYEJI, Manchester United wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Nottingham Forest katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Mabao ya Man United yamefungwa na Marcus Rashford dakika ya 19, Anthony Martial dakika ya 22 na Fred dakika ya 87. Kwa ushindi huo kikosi cha kocha Mholanzi Erik ten Hag kinafakisha pointi 29 katika mchezo wa 15, ingawa kinabaki nafasi ya tano kikizidiwa pointi moja Tottenham Hotspur ambayo pia imecheza mechi moja zaidi, wakati Nottingham Forest wanabaki na pointi zao 13 za mechi 16 nafasi ya 19.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment