TIMU ya Liverpool imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Leicester City usiku wa Ijumaa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Liverpool ilinufaika na makosa ya beki wa kati wa Leicester, Wout Faes aliyejifunga mabao yote mawili dakika za 38 na 45 baada ya kiungo Kiernan Dewsbury-Hall kutangulia kuwafungia wageni dakika ya nne. Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 28 katika mchezo wa 16, ingawa inabaki nafasi ya sita wakati Leicester City inabaki na pointi zake 17 za mechi 17 nafasi ya 13.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment