Bao la Simba katika mchezo huo lilifungwa na mshambuliaji wake Mkenya, Vivian Aquino likiwa la kusawazisha baada ya Mnigeria, Chioma Wogu kuanza kuifungia Yanga Princess.
Kwa matokeo hayo, timu zote zinafikisha pointi nne baada ya kucheza mechi tatu, zikiwa zimefungwa moja moja na kushinda moja moja mbali na sare ya jana.
0 comments:
Post a Comment