// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SIMBA SC YATOA SARE NA KAGERA SUGAR 1-1 KAITABA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESIMBA SC YATOA SARE NA KAGERA SUGAR 1-1 KAITABA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Ni Kagera Sugar ya kocha Mecky Mexime iliyotangulia kwa bao la Deus Bukenya dakika ya 15, kabla ya beki Mkongo, Henock Inonga Baka kuisawazishia Simba dakika ya 38. Kwa matokeo hayo, Kagera Sugar wanafikisha pointi 23 na kusogea nafasi ya sita, wakati Simba inayofikisha pointi 38 inabaki nafasi ya pili baada ya wote kucheza mechi 17. Ni mabingwa watetezi, Yanga SC wanaoendelea kuongoza Ligi Kuu baada ya raundi 17, wakiwa na pointi zao 44, wakati Azam FC yenye pointi 37 ni ya tatu.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment