TUISILA KISINDA AREJEA YANGA SIKU YA MWISHO YA USAJILI
WAKATI dirisha la usajili la Ligi Kuu ya Tanzania Bara limefungwa usiku huu, klabu ya Yanga imehitimisha usajili wake kwa kumrejesha winga wake Mkongo, Tuisila Kisinda kutoka RSB Berkane ya Morocco baada ya msimu moja tu tangu imuuze.
0 comments:
Post a Comment