• HABARI MPYA

    Thursday, September 01, 2022

    TUISILA KISINDA AREJEA YANGA SIKU YA MWISHO YA USAJILI


    WAKATI dirisha la usajili la Ligi Kuu ya Tanzania Bara limefungwa usiku huu, klabu ya Yanga imehitimisha usajili wake kwa kumrejesha winga wake Mkongo, Tuisila Kisinda kutoka RSB Berkane ya Morocco baada ya msimu moja tu tangu imuuze.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TUISILA KISINDA AREJEA YANGA SIKU YA MWISHO YA USAJILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top