Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika ya sita na 31 katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Everton usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Sadio Mane dakika ya 45 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 wakati ya Everton yalifungwa na Michael Keane dakika ya 21 na Richarlison dakika ya 45 na ushei katika mpambano huo wa mahasimu wa Merseyside PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England sweep aside Wales to continue dominant run
-
England run in 10 tries as they continue their Women's Six Nations title
defence with a 62-24 victory over Wales.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment