Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika ya sita na 31 katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Everton usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Sadio Mane dakika ya 45 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 wakati ya Everton yalifungwa na Michael Keane dakika ya 21 na Richarlison dakika ya 45 na ushei katika mpambano huo wa mahasimu wa Merseyside PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Logan Paul admits he had 'suicidal thoughts' amid fallout from $2.3million
CryptoZoo scandal in 2022... revealing he was 'spiraling and sobbing' while
on vacation with his fiancée Nina Agdal
-
Logan Paul has admitted to battling suicidal thoughts in 2022 as his crypto
video game was embroiled in a $2.3 million scandal amid accusations of
fraud.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment