Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika ya sita na 31 katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Everton usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Sadio Mane dakika ya 45 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 wakati ya Everton yalifungwa na Michael Keane dakika ya 21 na Richarlison dakika ya 45 na ushei katika mpambano huo wa mahasimu wa Merseyside PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Alarming amount Jadon Sancho has cost Man United as he heads for
exit, fan's plea for answers over alleged assault during sit-in protest and
why Aston Villa game could be pivotal for summer transfer window - Man
United Confidential
-
Sancho has played more times for other clubs than United since he joined
five years ago. He has 12 goals and six assists in 83 games for United, and
nine g...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment