Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la tatu kwa penalti dakika ya 79 ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Fiorentina usiku wa jana Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze katika mchezo wa Serie A. Mabao mengine ya Juventus inayoshinda mechi ya 13 kati ya 14 za ligi msimu huu, yalifungwa na Rodrigo Bentancur dakika ya 31 na Giorgio Chiellini dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benue PDP, Muftwang reject description of insecurity as farmer-herder
clashes
-
The Peoples Democratic Party (PDP) in Benue State has expressed concern
over Governor Hyacinth Alia’s description of the security challenges in the
state...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment