Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la tatu kwa penalti dakika ya 79 ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Fiorentina usiku wa jana Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze katika mchezo wa Serie A. Mabao mengine ya Juventus inayoshinda mechi ya 13 kati ya 14 za ligi msimu huu, yalifungwa na Rodrigo Bentancur dakika ya 31 na Giorgio Chiellini dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Toronto police investigating reports of firearm discharge at U.S. consulate
-
TORONTO — Toronto police say they have responded to reports that someone
discharged a firearm at the U.S. consulate in the city's downtown.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment