Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la tatu kwa penalti dakika ya 79 ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Fiorentina usiku wa jana Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze katika mchezo wa Serie A. Mabao mengine ya Juventus inayoshinda mechi ya 13 kati ya 14 za ligi msimu huu, yalifungwa na Rodrigo Bentancur dakika ya 31 na Giorgio Chiellini dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'No-one's going to explode' - Enhanced chief says Games will change minds
-
The first staging of the Enhanced Games - an event allowing the use of
banned performance-enhancing drugs - will change perceptions says its new
chief exec...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment