Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la tatu kwa penalti dakika ya 79 ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Fiorentina usiku wa jana Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze katika mchezo wa Serie A. Mabao mengine ya Juventus inayoshinda mechi ya 13 kati ya 14 za ligi msimu huu, yalifungwa na Rodrigo Bentancur dakika ya 31 na Giorgio Chiellini dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen says Adrian Newey's shock departure will NOT impact his
future at Red Bull for 'the moment'
-
The reigning world champion addressed speculation he's reconsidering his
future at the team ahead of the Miami Grand Prix Thursday after news broke
of Newe...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment