Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la tatu kwa penalti dakika ya 79 ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Fiorentina usiku wa jana Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze katika mchezo wa Serie A. Mabao mengine ya Juventus inayoshinda mechi ya 13 kati ya 14 za ligi msimu huu, yalifungwa na Rodrigo Bentancur dakika ya 31 na Giorgio Chiellini dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Melbourne Cup undergoes one of the biggest changes in its history as
the trophy alone is now worth $1million
-
The Melbourne Cup has undergone a massive change with a 165-year first. The
trophy itself is now worth over $1 million for the first time ever.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment