Dani Carvajal (kushoto) akishangilia baada ya kusababisha Daniel Wass ajifunge dakika ya nane kuipatia Real Madrid bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili ya Real Madrid lilifungwa na Lucas Vázquez dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville hits out at Chelsea over their 'bizarre' huddle around Paul
Tierney - insisting the 'just-for-show' routine 'isn't conning anybody' -
and explains where the referee went wrong
-
Gary Neville has ripped into Chelsea over the bizarre incident that saw
their players conduct a pre-match huddle around referee Paul Tierney before
their 1...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment