Wachezaji wa Chelsea wakimkimbilia mwenzao, kiungo Ruben Loftus-Cheek kumpongeza baada ya kufunga bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya nne na kwa ushindi huo Chelsea inafikisha pointi 31 baada ya kucheza mechi 14 na kupanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Alarming amount Jadon Sancho has cost Man United as he heads for
exit, fan's plea for answers over alleged assault during sit-in protest and
why Aston Villa game could be pivotal for summer transfer window - Man
United Confidential
-
Sancho has played more times for other clubs than United since he joined
five years ago. He has 12 goals and six assists in 83 games for United, and
nine g...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment