Wachezaji wa Chelsea wakimkimbilia mwenzao, kiungo Ruben Loftus-Cheek kumpongeza baada ya kufunga bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya nne na kwa ushindi huo Chelsea inafikisha pointi 31 baada ya kucheza mechi 14 na kupanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The American nightmare! Birmingham City are staring relegation in the face
after the disastrous hiring and firing of Wayne Rooney in the first season
since the club's Tom Brady-fronted takeover
-
This was sold as the year Birmingham City would embrace the American Dream
but the reality is proving a nightmare as they stare relegation in the face
on t...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment