Wachezaji wa Chelsea wakimkimbilia mwenzao, kiungo Ruben Loftus-Cheek kumpongeza baada ya kufunga bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya nne na kwa ushindi huo Chelsea inafikisha pointi 31 baada ya kucheza mechi 14 na kupanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hilarious moment darts star RUNS AWAY from the Ally Pally wasp as insect
causes more havoc at World Darts Championship
-
The insect has become as much of a feature in the World Darts Championship
as the arrows themself, and provided yet more entertainment on Friday
evening.
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment