Wachezaji wa Chelsea wakimkimbilia mwenzao, kiungo Ruben Loftus-Cheek kumpongeza baada ya kufunga bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya nne na kwa ushindi huo Chelsea inafikisha pointi 31 baada ya kucheza mechi 14 na kupanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'When I got the call, I thought it was a joke!': GIANFRANCO ZOLA on his
'unbelievable' Ryder Cup assignment, the 'very wild' celebrations after
Team Europe's victory - and his favourite Chelsea memory
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY ALEX JENNINGS: Beside a beautiful golf course in
Mallorca, an Italian is explaining to an Englishman how he came to help
Team Europe...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment