Gareth Bale akipongezwa na wenzake baada ya kumaliza ukame wa mabao katika mechi 11 za La Liga kufuatia kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya nane katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Huesca kwenye mchezo wa ligi hiyo Kuu Hispania usiku wa jana Uwanja wa El Alcoraz PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Kane is different at this World Cup
-
Former England captain Alan Shearer explains what has changed for Harry
Kane since his struggles at the 2022 World Cup in Qatar.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment