Jay Rodriguez akifunga kwa penalti dakika ya 89 kuisawazishia West Bromwich Albion baada ya Calum Chambers kuunawa mpira katika sare ya 1-1 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns. Arsenal ilitangulia kupata bao dakika ya 83 wakati shuti la mpira wa adhabu la Alexis Sanchez lilipombabatiza James McClean akajifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Policy discusses long-term adjustments Packers could make to stay
financially competitive
-
Green Bay Packers president/CEO Ed Policy says adjustments may be necessary
as the NFL’s only publicly owned franchise attempts to remain financially
compe...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment