Jay Rodriguez akifunga kwa penalti dakika ya 89 kuisawazishia West Bromwich Albion baada ya Calum Chambers kuunawa mpira katika sare ya 1-1 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns. Arsenal ilitangulia kupata bao dakika ya 83 wakati shuti la mpira wa adhabu la Alexis Sanchez lilipombabatiza James McClean akajifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3rd year-anniversary: Tinubu begins commissioning of major roads across
Abuja – Wike
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu will on Tuesday
begin a multi-day commissioning of major infrastructure projects across the
Fede...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment