Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (kulia) akimkabidhi Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake, Nahodha wa Mlandizi Queens, Mwanahamisi Omar 'Gaucho' baada ya kumaliza na pointi 15 za mechi tano katika Sita Bora ya michuano hiyo na kuwapiku JKT Queens waliomaliza na pointi 12
Mwanahamisi Gaucho akiinua Kombe la Ligi Kuu ya Wanawake leo baada ya kuiongoza Mlandizi Queens kuifunga 5-0 Panama ya Iringa leo akifunga mabao manne
Rais Jamal Malinzi akimkabidhi mfano wa hundi ya Sh Milioni 5 baada ya ubingwa
Jamal Malinzi akimvalisha Medali Mwenyekiti wa Chama cha Soka Pwani (COREFA), Hassan Hassanoo kufuatia mafanikio ya Mlandizi Queens
Meneja wa Idara ya Michezo ya Azam TV, Baruwan Muhuza (kulia) akimvalisha Medali mchezaji wa JKT Queens iliyomaliza nafasi ya pili, Fatuma Issa 'Foe'
Wachezaji wa Mlandizi Queens wakisherehekea na Kombe lao la ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake
Thomas Tuchel bites back at Bayern Munich chief Uli Hoeness' claims that he
'can't improve players', saying he is 'offended deeply as a coach' and
questions timing ahead of Real Madrid showdown
-
Tuchel (left) is due to leave in the summer and they are reportedly in
talks with Ralf Rangnick to replace him, but more than 17,000 fans have
signed a pet...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment