Henrikh Mkhitaryan akiifungia bao la ugenini Manchester United dakika ya 35 baada ya pasi ya Zlatan Ibrahimovic katika sare ya 1-1 na wenyeji, Rostov kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Olimp 2 mjini Rostov. Bao la wenyeji lilifungwa na Aleksandr Bukharov dakika ya 53 na sasa Mashetani Wekundu watahitaji ushindi wa nyumbani kwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Leeds' promotion celebrations: Former Man United youngster in the
thick of it with the mic as players party and fans gather outside Elland
Road in their thousands
-
Daniel Farke 's side were on the brink of returning to the top flight
following their match at Elland Road on the same day, with the league
leaders thrashi...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment