Henrikh Mkhitaryan akiifungia bao la ugenini Manchester United dakika ya 35 baada ya pasi ya Zlatan Ibrahimovic katika sare ya 1-1 na wenyeji, Rostov kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Olimp 2 mjini Rostov. Bao la wenyeji lilifungwa na Aleksandr Bukharov dakika ya 53 na sasa Mashetani Wekundu watahitaji ushindi wa nyumbani kwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
9 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment