Henrikh Mkhitaryan akiifungia bao la ugenini Manchester United dakika ya 35 baada ya pasi ya Zlatan Ibrahimovic katika sare ya 1-1 na wenyeji, Rostov kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Olimp 2 mjini Rostov. Bao la wenyeji lilifungwa na Aleksandr Bukharov dakika ya 53 na sasa Mashetani Wekundu watahitaji ushindi wa nyumbani kwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MID-MATCH adverts are coming to the World Cup as ITV get the go-ahead to
show water break split-screen ads
-
World Cup coverage on ITV this summer is set to feature mid-match adverts,
risking fury from fans watching the tournament. The heat in the US means
there w...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment