Henrikh Mkhitaryan akiifungia bao la ugenini Manchester United dakika ya 35 baada ya pasi ya Zlatan Ibrahimovic katika sare ya 1-1 na wenyeji, Rostov kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Olimp 2 mjini Rostov. Bao la wenyeji lilifungwa na Aleksandr Bukharov dakika ya 53 na sasa Mashetani Wekundu watahitaji ushindi wa nyumbani kwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cops take action over controversial footy commentator Paul Kent's wild
street fight outside a pub
-
The Fox Sports commentator has been suspended from that role and his job
with the Daily Telegraph while his employers investigate the alleged
incident outs...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment