Kiungo Mfaransa, N'Golo Kante (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake Eden Hazard na Cesar Azpilicueta baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England. United ilimaliza pungufu jana baada ya Ander Herrera kutolewa nje kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi za njano mara mbili kwa kumchezea rafu Hazard PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ebola fears surge on the ground in Congo over rapid spread of a rare type
-
BUNIA, Congo (AP) — Anxious healthcare workers in eastern Congo said
Wednesday they are underprotected and undertrained in a rapidly spreading
Ebola outbre...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment