Kiungo Mfaransa, N'Golo Kante (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake Eden Hazard na Cesar Azpilicueta baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England. United ilimaliza pungufu jana baada ya Ander Herrera kutolewa nje kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi za njano mara mbili kwa kumchezea rafu Hazard PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What we know and don't know about the emerging deal to end the Iran war
-
CAIRO (AP) — A deal appears to be emerging between the United States and
Iran to end the war and open the Strait of Hormuz, and U.S. President
Donald Trump...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment