Mshambuliaji Diego Costa akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 50 Chelsea katika ushindi wa 2-1 dhidi ya West Ham United Uwanja wa London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana. Eden Hazard alitangulia kuifungia The Blues dakika ya 25 na Manuel Lanzini akawafungia wenyeji bao la kufutia machozi dakika ya 90 na ushei. Chelsea sasa inaongoza Ligi Kuu kwa pointi 10 zaidi ikiwa na pointi 66 dhidi ya 56 za Tottenham Hotspur katika nafasi ya pili baada ya timu zote kucheza mechi 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-NFL quarterback Johnny Manziel and new girlfriend Josie Canseco -
daughter of baseball legend Jose - make their relationship Instagram
official... as the couple share loved-up pictures at Stagecoach music
festival
-
Former NFL quarterback Johnny Manziel and model Josie Canseco have
confirmed their relationship on social medial, with the couple seen in
loved-up photos t...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment