Wachezaji wa Azam FC wakiwa katika picha ya pamoja Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam kabla ya safari ya kwenda Mbabane, Swaziland kumenyana na wenyeji, Mbabane Swallows Jumapili katika mchezo wa marudiano wa hatua ya 32 Bora Kombe la Shirikisho la soka Afrika. Azam inahitaji hata sare baada ya kushinda 1-0 katika mchezo wa kwanza nyumbani, Dar es Salaam Jumapili iliyopita
Stocks may start to discount the possibility that the war won’t be short,
Yardeni
-
Investing.com -- Stocks declined as oil prices returned to around $100 a
barrel, with Yardeni Research warning in a note on Friday that markets may
be star...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment