Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Coasta akipeana mikono na kocha wake, Mtaliano Antonio Conte baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee la ushindi dakika ya 43 The Blues ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park leo. Ushindi huo unaifanya Chelsea iongoze kwa pointi tisa zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers make stance on trading Bronny James to 76ers after LeBron James deal
-
The Los Angeles Lakers didn't mince their words on their 21-year-old
second-year guard.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment