Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Coasta akipeana mikono na kocha wake, Mtaliano Antonio Conte baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee la ushindi dakika ya 43 The Blues ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park leo. Ushindi huo unaifanya Chelsea iongoze kwa pointi tisa zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal star Ben White caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper
Guglielmo Vicario just seconds before the Gunners go ahead in the north
London derby
-
Ben White has been caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper Guglielmo
Vicario from the corner that put Arsenal ahead in the north London derby.
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment