Kipa wa Newcastle United, Rob Elliot akiutumbulia macho mpira ukitinga nyavuni baada ya pigo la tik tak la mshambuliaji wa kimataifa wa Japan, Shinji Okazaki kuipatia Leicester City bao pekee la ushindi dakika ya 25 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa King Power. Ushindi huo katika mechi ya 30 ya ligi msimu huu, unaifanya Leicester ifikishe pointi 63, ikiwazidi kwa pointi tano Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crisis in LP over: Abure defeated politically, legally – Danbaki
-
A former Obidient State Coordinator, immediate past Kaduna State Chairman
of the Labour Party and now Senatorial Candidate for Kaduna Central, Elder
Yusu...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment