Kipa wa Newcastle United, Rob Elliot akiutumbulia macho mpira ukitinga nyavuni baada ya pigo la tik tak la mshambuliaji wa kimataifa wa Japan, Shinji Okazaki kuipatia Leicester City bao pekee la ushindi dakika ya 25 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa King Power. Ushindi huo katika mechi ya 30 ya ligi msimu huu, unaifanya Leicester ifikishe pointi 63, ikiwazidi kwa pointi tano Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal star Ben White caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper
Guglielmo Vicario just seconds before the Gunners go ahead in the north
London derby
-
Ben White has been caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper Guglielmo
Vicario from the corner that put Arsenal ahead in the north London derby.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment