Kipa wa Newcastle United, Rob Elliot akiutumbulia macho mpira ukitinga nyavuni baada ya pigo la tik tak la mshambuliaji wa kimataifa wa Japan, Shinji Okazaki kuipatia Leicester City bao pekee la ushindi dakika ya 25 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa King Power. Ushindi huo katika mechi ya 30 ya ligi msimu huu, unaifanya Leicester ifikishe pointi 63, ikiwazidi kwa pointi tano Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jen Psaki Blasts JD Vance as a ‘Loser, Loser, Loser’ After Poor Attendance
at Turning Point Event and Failure in Hungary | Video
-
Jen Psaki didn't hold back when commenting on JD Vance's recent appearance
at a Turning Point USA event and his failure campaigning for Viktor Orbán
in Hun...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment