Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa ameweka mpira ndani ya jezi yake baada ya kufunga mabao manne peke yake katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Pepe, Jese Rodriguez na Gareth Bale, wakati la Celta Vigo limefungwa na Iago Aspas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham cult hero gives update on 'new hip' surgery after being forced to
retire aged 33 following 11 YEARS of discomfort: 'Let's hope this is the
'start of a pain-free life'
-
He dealt with pain for years and is optimistic his latest surgery will be
the start of a new chapter free of discomfort. He shared pictures from
hospital, ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment