Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa ameweka mpira ndani ya jezi yake baada ya kufunga mabao manne peke yake katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Pepe, Jese Rodriguez na Gareth Bale, wakati la Celta Vigo limefungwa na Iago Aspas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kamala Harris says she might run for president again in 2028
-
April 10 (Reuters) - Former Vice President Kamala Harris, who was the
Democratic Party's nominee for the presidency in 2024, said on Friday that
she was co...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment