Nyota wa Leicester City, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Leicester City dakika ya 11 ikishinda 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kuzidi kupaa kileleni kwa kufikisha pointi 60, tano zaidi ya Tottenham Hotspur wanaoshika nafasi ya pili baada ya timu zote kucheza mechi 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ian Wright and Alan Shearer rip apart Anthony Taylor's 'very messy'
decision which denied Cody Gakpo a clear goalscoring opportunity in
Liverpool's 2-2 draw with West Ham
-
The Reds' title hopes took yet another dent as there were held by David
Moyes ' men at the London Stadium, with the game including a controversial
call by ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment