Wachezaji wa Barcelona wakishangilia ushindi wao wa 6-0 dhidi ya Getafe katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo ambao Mwanasoka Bora wa Dunia, Lionel Messi alikosa penalti kabla ya kufunga baafaye, mabao mengine ya Barca yamefungwa na Juan Rodriguez aliyejifunga, Munir, Neymar mawili na Arda Turan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'He's going off!' - England strike after Australia make review error
-
England's Brydon Carse dismisses Jake Weatherald lbw for one, but replays
show the decision should have been overturned as Australia are made to
regret the...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment