Wachezaji wa Barcelona wakishangilia ushindi wao wa 6-0 dhidi ya Getafe katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo ambao Mwanasoka Bora wa Dunia, Lionel Messi alikosa penalti kabla ya kufunga baafaye, mabao mengine ya Barca yamefungwa na Juan Rodriguez aliyejifunga, Munir, Neymar mawili na Arda Turan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund is spotted looking bemused at Erik ten Hag's decision to
substitute Kobbie Mainoo in Man United's draw with Burnley - which sparked
furious reaction from fans
-
Rasmus Hojlund (left) cut a bemused figure as Manchester United manager
Erik ten Hag decided to bring midfielder Kobbie Mainoo (right) off during
Saturday'...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment