Wachezaji wa Barcelona wakishangilia ushindi wao wa 6-0 dhidi ya Getafe katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo ambao Mwanasoka Bora wa Dunia, Lionel Messi alikosa penalti kabla ya kufunga baafaye, mabao mengine ya Barca yamefungwa na Juan Rodriguez aliyejifunga, Munir, Neymar mawili na Arda Turan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lawyer urges Ogun govt to fill vacant Alakenne throne
-
Following the judgment of the Supreme Court, renowned legal practitioner
and Senior Advocate of Nigeria, Olumide Sofowora, has called on the Ogun
State g...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment