Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akipongezwa na wachezaji wenzake, Kieran Gibbs na Alex Iwobi baada ya kufunga bao lake la pili usiku wa kuamkia leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hull City katika mchezo wa 16 Bora Kombe la FA England Uwanja wa KC. Walcott alifunga mabao mawili na mengine Olivier Giroud na sasa The Gunners inakwenda Robo Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Devastated Canada World Cup star breaks silence from hospital after horror
injury mars 6-0 win over Qatar
-
Heartbroken Canada World Cup star Ismael Kone said the support he has
received from fans in the aftermath of his horror leg break will stay with
him forever.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment