Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akipongezwa na wachezaji wenzake, Kieran Gibbs na Alex Iwobi baada ya kufunga bao lake la pili usiku wa kuamkia leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hull City katika mchezo wa 16 Bora Kombe la FA England Uwanja wa KC. Walcott alifunga mabao mawili na mengine Olivier Giroud na sasa The Gunners inakwenda Robo Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Day 3 Grades for Every Pick
-
The majority of NFL rosters are made up of players drafted in Rounds 4
through 7 and undrafted free agents. Saturday at the NFL draft is when the
yeoman's…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment