Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiunganisha kwa ustadi mkubwa krosi ya Dani Alves kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 65 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal usiku huu Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Neymar Junior dakika ya 18 na Lionel Messi dakika ya 88, wakati bao pekee la Arsenal limefungwa na Mohamed Elneny dakika ya 51. Barcelona inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya awali kushinda 2-0 Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen says Adrian Newey's shock departure will NOT impact his
future at Red Bull for 'the moment'
-
The reigning world champion addressed speculation he's reconsidering his
future at the team ahead of the Miami Grand Prix Thursday after news broke
of Newe...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment