Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud (katikati) na Mesut Ozil (kushoto) wakiwa wanyonge wakati wa kuanzisha mchezo baada ya kufungwa bao dhidi ya Watford katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London wakilala 2-1 na kutolewa. Mabao ya Watford yamefungwa na Odion Ighalo na Adlene Guedioura, wakati la Arsenal waliokuwa wanashikilia Kombe la FA limefungwa na Danny Welbeck PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scotland stand on a knife-edge between real achievement and numbing World
Cup disappointment - but there are reasons for hope against Brazil, writes
IAN LADYMAN
-
IAN LADYMAN IN BOSTON: There is always a point when simply being at a World
Cup is no longer enough, whoever you are and whoever you play for.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment