Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud (katikati) na Mesut Ozil (kushoto) wakiwa wanyonge wakati wa kuanzisha mchezo baada ya kufungwa bao dhidi ya Watford katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London wakilala 2-1 na kutolewa. Mabao ya Watford yamefungwa na Odion Ighalo na Adlene Guedioura, wakati la Arsenal waliokuwa wanashikilia Kombe la FA limefungwa na Danny Welbeck PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Suns' Frank Vogel 'Very' Confident He'll Remain HC Amid Rumors About Future
-
The Phoenix Suns season is currently on life support, but head coach Frank
Vogel is not worried about his job security. Prior to the Suns' Game 4
matchup…
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment