Nahodha wa England, Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia bao timu yake kwa penalti dakika ya 84 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Uswisi, bao lingine likifungwa na Harry Kane dakika ya 67. Rooney sasa ndiye mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi Three Lions (50 katika mechi 107) akivunja rekodi ya Sir Bobby Charlton iliyodumu tangu mwaka 1968. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
64 Serie A players left standing at the 2026 World Cup – Who are you
supporting?
-
64 Italian-based players are left standing at the 2026 World Cup heading
into the knock-out rounds, and with no Italy at the tournament, Croatia
might be t...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment