• HABARI MPYA

    Sunday, September 27, 2015

    PICHA 10 'BOMBA' ZA PAMBANO LA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA SC UWANJA WA TAIFA JANA

    Beki wa Simba SC, Hassan Kessy akimuwekea mguu njiani beki wa Yanga SC, Mwinyi Mngwali katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Yanga SC ilishinda 2-0
    Beki wa Simba SC, Hassan Kessy akimuacha chini mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Malimi Basungu akitoa paso mbele ya beki wa Simba SC, Hassan Isihaka
    Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima
    Beki wa Simba SC, Juuko Murushid akiruka guu mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma. Kulia ni Justice Majabvi wa Simba SC na kushoto ni Amissi Tambwe wa Yanga SC
    Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kushoto) akimdhibiti kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke
    Kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Yanga SC. Kulia ni Mwinyi Mngwali na kushoto ni Thabani Kamusoko na Salum Telela
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma 'akimfunga tela' mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib
    Beki wa Yanga SC, Kevin Yondan akiondoka na mpira baada ya kumpokonya mshambuliaji wa Simba SC, Hamisi Kiiza
    Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akiwania mpira dhidi ya beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PICHA 10 'BOMBA' ZA PAMBANO LA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA SC UWANJA WA TAIFA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top