• HABARI MPYA

    Monday, September 28, 2015

    AZAM FC NA MBEYA CITY KATIKA PICHA JANA CHAMAZI

    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akiambaa na mpira kumtoka beki wa Mbeya City FC, Christian Sembuli katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 2-1
    Mpishi wa mabao yote ya Azam FC jana, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimtoka kiungo wa Mbeya City, Richard Peter
    Mfungaji wa bao la kwanza la Azam FC, Mudathir Yahya akimtoka kiungo wa MCC, Richard Peter
    Mchezaji wa Mbeya City, George Mlawa akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Azam FC, Farid Mussa
    Nahodha wa Azam FC, John Bocco 'Adebayor' (kulia) akipambana na wachezaji wa Mbeya City
    Mfungaji wa bao la pili la Azam FC, Kipre Herman Tchetche akimtoka Christian Sembuli

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA MBEYA CITY KATIKA PICHA JANA CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top