Mshambuliaji wa mkopo West Ham, Mnigeria Victor Moses akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu hiyo katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Manchester City usiku wa leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la West Ham limefungwa na Diafra Sakho wakati la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jonathan David hat trick leads Canada over Qatar for historic 1st win in
men's World Cup history
-
Canada’s men won the first World Cup match in their program’s history,
demolishing Qatar 6-0 in front of a deafening BC Place crowd on a glorious
Thursday ...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment