Mshambuliaji wa mkopo West Ham, Mnigeria Victor Moses akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu hiyo katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Manchester City usiku wa leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la West Ham limefungwa na Diafra Sakho wakati la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Schlossberg ‘Is Reminding Voters of His Last Name’ by Using Mom
Caroline Kennedy in Campaign Ad
-
Jack Schlossberg is leaning on his mom, Caroline Kennedy. As John F.
Kennedy‘s grandson continues to campaign for his bid to represent New
York’s 12th Cong...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment