Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akionekana mnyonge baada ya timu yake kufungwa na Celta Vigo mabao 4-1 jana usiku mjini Vigo katika mchezo wa La Liga. Mabao ya Celta Vigo yalifungwa na Iago Aspas aliyetemwa Liverpool mawili, Nolito na John Guidetti wakati bao pekee la Barca lilifungwa na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Guardiola found his best Man City XI
-
Manchester City are finishing the season strongly - having looked at one
stage as if the Premier League title may elude them. Here's how Pep
Guardiola went...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment