Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akionekana mnyonge baada ya timu yake kufungwa na Celta Vigo mabao 4-1 jana usiku mjini Vigo katika mchezo wa La Liga. Mabao ya Celta Vigo yalifungwa na Iago Aspas aliyetemwa Liverpool mawili, Nolito na John Guidetti wakati bao pekee la Barca lilifungwa na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronda Rousey breaks down in tears as she reveals two miscarriages in 2019
-
Rousey was emotional while recalling her first miscarriage from five years
ago, as she fell pregnant a week before filming an episode of 9-1-1, where
she a...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment