Kiungo wa Chelsea, Pedro (katikati) akiinua mguu kupiga mpira dhidi ya wachezaji wa Newcastle katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Jumamosi Uwanja wa St James Park. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya Newcastle yakifungwa na Ayoze Perez na Georginio Wijnaldum, wakati ya Chelsea yalifungwa na Ramires na Willian PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chad Tracy: Aroldis Chapman Injury Healing, 'We Haven't Had To Use Him'
-
The Red Sox keep losing, which is good for their closer.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment