Kiungo wa Chelsea, Pedro (katikati) akiinua mguu kupiga mpira dhidi ya wachezaji wa Newcastle katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Jumamosi Uwanja wa St James Park. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya Newcastle yakifungwa na Ayoze Perez na Georginio Wijnaldum, wakati ya Chelsea yalifungwa na Ramires na Willian PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What happens when Man United finally win five in a row? Viral fan reveals
his plans to stay relevant once his haircut challenge is ended by the Red
Devils
-
Frank Ilett - better known as The United Strand - has been growing out his
now-mop-like hair since October 2024, a period during which United have
failed t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment