Kiungo wa Chelsea, Pedro (katikati) akiinua mguu kupiga mpira dhidi ya wachezaji wa Newcastle katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Jumamosi Uwanja wa St James Park. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya Newcastle yakifungwa na Ayoze Perez na Georginio Wijnaldum, wakati ya Chelsea yalifungwa na Ramires na Willian PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Guardiola found his best Man City XI
-
Manchester City are finishing the season strongly - having looked at one
stage as if the Premier League title may elude them. Here's how Pep
Guardiola went...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment