Bondia Tyson Fury (kulia) akimchimba mikwara mpinzani wake, Wladimir Klitschko jana wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari kuelekea pambano lao la Oktoba 24, mwaka huu mjini Dusseldorf, Ujerumani. Klitschko atakuwa anatetea mataji yake ya dunia uzifo wa juu ya WBA, WBO na IBF PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Flyers Land Major Steal in New NHL Mock Draft
-
In this mock draft, the Flyers finally land the mid-round gem.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment