Mshambuliaji wa Manchester United, Memphis Depay akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sunderland jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Wayne Rooney na Juan Mata. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Vaughan: Former England captain steps back from work at BBC
-
Former England captain Michael Vaughan says he is stepping back from his
work at the BBC.
Dakika 52 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni