• HABARI MPYA

    Thursday, September 24, 2015

    BEKI WA SIMBA SC, HASSAN KESSY APIGA 'MNYOO WA USHINDI' KUELEKEA PAMBANO NA YANGA

    Beki wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy akifurahia katika saluni moja Zanzibar leo baada ya kunyoa mnyoo maalum kuelekea pambano dhidi ya mahasimu wao, Yanga SC Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC imeweka kambi Zanzibar kwa ajili ya mchezo huo wa keshokutwa jioni.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEKI WA SIMBA SC, HASSAN KESSY APIGA 'MNYOO WA USHINDI' KUELEKEA PAMBANO NA YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top