NIYONZIMA ALIVYOAMUA PAMBANO LA 'KAVU KAVU' LA KASEKE NA MAJABVI JUMAMOSI TAIFA
Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima (kulia) akimzuia kiungo wa Simba SC, Justice Majabvi asipigane na kiungo wa Yanga pia, Deus Kaseke katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga SC ilishinda 2-0
Tukio hilo lilianzia katika kugombea mpira wa kurusha na ilikuwa kama Kaseke anapoteza muda, hivyo Majabvi akaenda kuuchukua ili mchezo uendelee wajaribukusawazisha mabao ya Amissi Tambwe na Malimi Busungu Kaseka na Majabvi wakigombea mpira kabla ya kutaka kupigana
Halbfinalspiele zeitgenau angesetzt
-
Borussia Dortmund tritt am Mittwoch, 1. Mai, zum Halbfinal-Hinspiel der
UEFA Champions League gegen Paris Saint-Germain an. Die Begegnung wird um
21 Uhr im...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment