• HABARI MPYA

    Friday, August 01, 2014

    UJERUMANI WAFALME KWELI WA SOKA DUNIANI, WATWAA UBINGWA WA U19 ULAYA BAADA YA KUIPIGA URENO 1-0

    KIZAZI kijacho cha Ujerumani kinafuata vyema nyayo za kaka zao baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Ulaya kwa cijana chini ya umri wa miaka 19.
    Kiungo wa Hertha Berlin, Hany Mukhtar alifunga bao pekee dakika ya 39 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Ureno mjini Budapest.
    Hiyo inafuatia kaka zao, timu ya wakubwa ya Ujerumani kutwaa Kombe la Dunia baada ya kuifunga Argentina nchini Brazil mapema mwezi huu.

    Washindi: Makinda wa Ujerumani wakisherehekea baada ya kuifunga Ureno 1-0 katika fainali 
    Lucky break: Mukhtar converted past the Portuguese goalkeeper via his shin in the 37th minute
    Kifaa: Mukhtar akifunga bao pekee lililoipa Ujerumani ubingwa wa U19
    Outnumbered but not outfought: Julian Brandt gets between three Portuguese defenders in Budapest
    Julian Brandt akiwatoka mabeki watatu wa Ureno 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UJERUMANI WAFALME KWELI WA SOKA DUNIANI, WATWAA UBINGWA WA U19 ULAYA BAADA YA KUIPIGA URENO 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top