• HABARI MPYA

    Friday, January 10, 2014

    MAZOEZI YA KWANZA YANGA SC UTURUKI

    Kipa namba moja wa Yanga SC; Juma Kaseja akijiandaa kuingia mazoezini kwenye Uwanja ilio ndani ya eneo la hoteli waliyofikia, Sueno Beach mjini Antalya, Uturuki leo. Yanga walifika jana Uturuki na leo wanafanya mazoezi ya kwanza.
    Wachezaji wa Yanga kutoka kulia Nadir Haroub 'Cannavaro', Nizar Khalfan, Mrisho Ngassa na Jerry Tegete aliyesimama wakiwa tayari kuingia mazoezini.
    Hamisi Kiiza kulia na Emmanuel Okwi 
    Mrisho Ngassa
    Kutoka kulia Juma Abdul, Mbuyu Twite na Mrisho Ngassa
    Didier Kavumbangu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAZOEZI YA KWANZA YANGA SC UTURUKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top