• HABARI MPYA

    Sunday, December 08, 2013

    REAL MADRID 'FUNIKA BOVU' DUNIA NZIMA HADI KOMBE LA DUNIA

    NYOTA wa klabu ya Real Madrid ya Hispania wamesafiri hadi Brazil kufanya kzi muhimu kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia mwakani.
    Wachezaji sita wa kikosi cha Carlo Ancelotti kinachoshiriki La Liga watakaokwenda Amerika Kusini mwishoni mwa msimu, wameonyesha jezi za timu zao za taifa leo baada ya kupangwa kwa Ratiba ya michuano hiyo.
    Cristiano Ronaldo, Angel De Maria, Karim Benzema, Iker Casillas, Marcelo na Luka Modric wote walishika jezi za nchi zao na pia wakashika kwa pamoja jezi ya Ujerumani kumuwaklisha Sami Khedira.
    Ligi za Mataifa: Nyota wa Real Madrid, kutoka kushoto Angel Di Maria, Karim Benzema, Iker Casillas, Cristiano Ronaldo, Marcelo na Luka Modric
    Wishing you were here: The six held up a Germany shirt in Sami Khedira's absence
    Kama ungekuwepo: Wachezaji hao sita wa Real  pia walishika kwa pamoja jezi ya Ujerumani kumuwakilisha Sami Khedira ambaye hakuwepo

    Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/worldcup2014/article-2520247/Real-Madrid-stars-ready-Brazil-cagey-holding-shirts.html#ixzz2mpfnkcTC
    Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID 'FUNIKA BOVU' DUNIA NZIMA HADI KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top