• HABARI MPYA

    Sunday, December 08, 2013

    PENDA PENDA RONALDO LIMA ATAKA KUOA MKE WA NNE, NI BINTI DJ NA TAYARI AMEMVISHA PETE

    KWA Brazil kuandaa Fainali za Kombe la Dunia haijatosha kwa Ronaldo Lima, baada ya mshambuliaji huyo wa zamani wa timu hiyo kuchumbia.
    Mkongwe huyo mwene umri wa miaka 37 amemchumbia kimwana DJ, Paula Morais - kisha akaposti picha yake kwenye mtandao. 
    Ronaldo, ambaye alishinda tuzo ya Kiatu cha Dhahabu katika Fainali za Kombe la Dunia mwaka 1998, amewahi kuoa mara tatu hapo kabla na ana watoto wanne.
    Pamoja: Ronaldo anataka kumuoa Paula Morais (wa pili kushoto) - hiyo itakuwa ndoa yake ya nne
    Who's who: The Brazil legend posted a picture of the pair's rings after Morais accepted his proposal
    Nani ni nani: Gwiji w Brazil ameposti picha ya kumvisha pete ya uchumba Morais 
    Thanks for coming! Morais addresses her party after boyfriend Ronaldo popped the question
    Asante kwa kuja! Morais akifurahia kuvishwa pete ya uchumba na Ronaldo katika siku ya kusherehekea kuzaliwa kwake
    Showing off: The happy couple embrace in a public display of affection

    Having a watch: Ronaldo and Morais were spotted taking in the Italian Grand Prix in Monza earlier this year
    Ronaldo akiwa na Morais nchini Italia katika Grand Prix mjini Monza mapema mwaka huu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PENDA PENDA RONALDO LIMA ATAKA KUOA MKE WA NNE, NI BINTI DJ NA TAYARI AMEMVISHA PETE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top