• HABARI MPYA

    Sunday, December 08, 2013

    NANI MTANI JEMBE LA BANANA LILIKUWA SIMPO LAKINI NOMA!

     Wacheza shoo wa kundi la muziki wa Dansi la Extra Bongo wakitoa burudani katika Tamasha la Kampeni ya Nani Mtani Jembe lililofanyika Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa Simba na Yanga na kuendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager Bonge la Kiburudisho kwa Watanzania. 
     Mashabiki wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakifurahiya Kampeni ya Nani Mtani Jembe wakati wa Tamasha lililofanyika Ukonga Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa Simba na Yanga na kuzaminiwa nabia hiyo.
     Wacheza shoo wa kundi la muziki wa Dansi la Extra Bongo Wanaume wakiomyesha vitu vyao  katika Tamasha la Kampeni ya Nani Mtani Jembe lililofanyika Banana Dar es Salaam leo kwaajili ya Mashabiki wa Simba na Yanga na kuendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager Bonge la Kiburudisho kwa Watanzania.
    Mashabiki wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakikabidhiana zawadi za jezi wakati wa Tamasha la Nani Mtani Jembe lilifanyika Banana Dar es Salaam leo na kuzaminiwa na bia hiyo kwaajili ya Mashabiki wa Simba naYanga

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NANI MTANI JEMBE LA BANANA LILIKUWA SIMPO LAKINI NOMA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top