• HABARI MPYA

    Friday, March 02, 2012

    YANGA NDANI YA CAIRO NA MAJI YA KILIMANJARO YA DAR

    Wachezaji wa Yanga, Nadir Haroub Cannavaro, Job Ibrahim na Davies Mwape wakiwa katika Jiji la Cairo kama wanavyoonekana wanakunywa maji yao ya Kilimanjaro waliyotoka nayo Dar es Salaam. Yanga wanacheza na Zamalek kesho wakitakiwan lazima kushinda ili wasonge mbele katika Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 Dar es Salaam. PICHA HII NIMETUMIWA NA HAMISI KIIZA DIEGO, MDAU WA BONGOSTAZ. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NDANI YA CAIRO NA MAJI YA KILIMANJARO YA DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top