PAZIA la msimu mpya wa kisoka Zanzibar limepenuliwa jana kwa mchezo wa Ngao ya Jamii, KMKM mabingwa wa Ligi Kuu wakiwachama washindi wa FA Cup, Kipanga 1-0 bao pekee la Salum Akida dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
3 days ago


.png)
0 comments:
Post a Comment