RAIS wa Heshima wa Simba, Mohamed ‘Mo’ Dewji akimwagia maji kiungo wa klabu hiyo, Jonas Mkude kama sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa mchezaji huyo wa Kimataifa wa Tanzania.
Mo Dewji alifanya hivyo baada ya kuwatembelea wachezaji kambini leo na kuzungumza nao kuelekea mchezo wao wa Jumapili Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gendamarie ya Niger.
0 comments:
Post a Comment