Mshambuliaji Lionel Messi akionyesha tuzo yake mpya ya Ballon d'Or kabla ya mechi ya La Liga na Mallorca Uwanja wa Nou Camp jana ambayo Barcelona ilishinda 5-2 huku yeye akipiga hat-trick na kumpiku Cristiano Ronaldo kwa kufunga hat trick nyingi kwenye La Liga (35-34). Messi alifunga mabao yake dakika za 17, 41 na 83, wakati mengine yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya saba na Luis Suarez dakika ya 43, huku ya Mallorca yakifungwa na Ante Budimir dakika ya 35 na 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NL Central season preview: Will the Cubs or Brewers emerge as division
champs? Can the Reds and Pirates get in the postseason mix?
-
The Cardinals are in full rebuild mode but should enjoy top prospect JJ
Wetherholt's debut this season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment