Tyrone Mings akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Aston Villa bao la kusawazisha dakika ya 66 ikitoa sare ya 2-2 na wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza la Aston Villa limefungwa na Jack Grealish dakika ya 11, wakati mabao ya Man United yamefungwa na Tom Heaton aliyejifunga dakika ya 42 na Victor Lindelof dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronda Rousey breaks down in tears as she reveals two miscarriages in 2019
-
Rousey was emotional while recalling her first miscarriage from five years
ago, as she fell pregnant a week before filming an episode of 9-1-1, where
she a...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment