Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 29 kwa penalti na 57 ikitoa sare ya 2-2 na Norwich City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road. Mabao ya Norwich City Teemu Pukki dakika ya 21 na Todd Cantwell dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Schoolgirl thanks King for ‘wonderful job’ as she presents him with portrait
-
A schoolgirl has presented the King with her portrait of him – carrying a
message thanking him for doing a “wonderful job”.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment