Muargentina Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 75 na 82 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Liverpool usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Camp Nou. Bao la kwanza alifunga mshambuliaji wa kimataifa wa Uruguay, Luis Suarez akiiadhibu timu yake ya zamani dakika ya 26 na sasa Liverpool watatakiwa kushinda 4-0 Mei 7 Uwanja wa Anfield ili kupindua matokeo waende Fainali ambako watakutana na mshindi wa jumla kati ya Ajax na Tottenham PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James' Lakers knocked out with defeat by Nuggets
-
The Los Angeles Lakers are knocked out of the NBA play-offs by defending
champions, the Denver Nuggets.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment