Muargentina Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 75 na 82 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Liverpool usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Camp Nou. Bao la kwanza alifunga mshambuliaji wa kimataifa wa Uruguay, Luis Suarez akiiadhibu timu yake ya zamani dakika ya 26 na sasa Liverpool watatakiwa kushinda 4-0 Mei 7 Uwanja wa Anfield ili kupindua matokeo waende Fainali ambako watakutana na mshindi wa jumla kati ya Ajax na Tottenham PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Your cheat sheet to beat the bookies on day one at Cheltenham, JP McManus
is primed for birthday success and Sir Anthony McCoy's marathon challenge:
CHELTENHAM BREAKFAST
-
CHELTENHAM BREAKFAST: Nobody wants to win at Cheltenham more than JP
McManus and it will be fascinating to see how many times he hits the
bullseye this week.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment