Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana’s Black Stars begin camping in Accra today March 17 ahead of Chad,
Madagascar games
-
The Black Stars will open camp in Accra on Monday, March 17, 2025, ahead of
the 2026 World Cup qualifying games against Chad and Madagascar.The team
will h...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment