Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Lineker aims another dig at BBC over 'Work from Home' World Cup as he
talks up his own £14m Netflix show - and names the one famous name who
WON'T be appearing alongside him
-
Gary Lineker has taken a swipe at the BBC's coverage of the World Cup this
summer, expressing relief that he won't be 'working from a green box in
Salford'.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment