Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Bruno Fernandes rejects Man Utd’s contract offer
-
Manchester United captain Bruno Fernandes has rejected the club’s initial
proposal for a new contract, although negotiations remain ongoing and the
midfi...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment