Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨Newcastle 2-0 Arsenal: Gunners' Champions League hopes extinguished at St. James Park
-
Arsenal's hopes of featuring in the Champions League next season took a
major dent following a surprise 2-0 loss at Newcastle on Monday night. The
Gunners...
Sekunde 37 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni