Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua may NEVER fight again, admits Eddie Hearn - as promoter
gives update on boxer's condition after crash that killed two of his best
friends
-
Joshua narrowly avoided death after changing seats before the vehicle set
off on its journey. He spent New Year in hospital before jetting home to
his mans...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment