Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea suffer fresh blow as Enzo Fernandez will MISS the rest of the
season with groin injury... with £107m midfielder to undergo surgery to be
fit in time for the Copa America
-
Enzo Fernandez will miss the remainder of the Premier League season after
undergoing surgery to address a groin injury in time for the Copa America.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment