Bondia Deontay Wilder akiondoka akimuacha mpinzani wake Dominic Breazeale, wote wa Marekani ameanguka baada ya kumpiga ngumi kali katika pambano la uzito wa juu Afajiri ya leo ukumbi wa Barclays Center mjini Brooklyn. Wilder alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MARTIN SAMUEL: Jake Daniels is a trailblazer, a man of vision and footballer of this year
-
CHIEF SPORTS WRITER: Jake Daniels could play for England, he could end up
in the reserves at Newport County. Wherever he goes, whatever he achieves,
howeve...
Dakika 34 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni