Bondia Deontay Wilder akiondoka akimuacha mpinzani wake Dominic Breazeale, wote wa Marekani ameanguka baada ya kumpiga ngumi kali katika pambano la uzito wa juu Afajiri ya leo ukumbi wa Barclays Center mjini Brooklyn. Wilder alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roger Goodell Explains NFL's Stance on Chiefs WR Rashee Rice's Future After
Car Crash
-
NFL Commissioner Roger Goodell explained Thursday that the league is
waiting for the legal process to play out in regards to Kansas City Chiefs
wide receiver…
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment