• HABARI MPYA

    Sunday, May 26, 2019

    ALLY MOPELO, GODFREY KUKIMBIZI NA DOYI MOKE MAJIMAJI 1998

    Wachezaji wa Maji Maji ya Songea mkoani Ruvuma walioisaidia timu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Muungano mwaka 1998 kutoka kulia ni mshambuliaji Godfrey Kikumbizi, kipa Doyi Moke raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kiungo Ally Mopelo kabla ya moja ya mechi za timu hiyo mwaka 1998
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ALLY MOPELO, GODFREY KUKIMBIZI NA DOYI MOKE MAJIMAJI 1998 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top